Maelezo ya Chini
a Profesa Marvin Pate aliandika kama watu wengi wenye elimu wanaamini kama wakati Yesu alisema “leo,” alikuwa anamaanisha kama angekufa na kuenda mu Paradiso siku ileile, ao mu saa 24. Profesa Pate anasema tena kama ile mawazo iko na shida juu haipatane na mafundisho ingine ya Biblia. Kwa mufano, Biblia inasema kama Yesu alikuwa mu Kaburi kisha kufa na kama alienda mbinguni wakati fulani kisha kufufuliwa.—Mt. 12:40; Mdo. 2:31; Ro. 10:7.