Maelezo ya Chini
a Tutaendelea kuwa waaminifu kwa Yehova, ao tutaacha Shetani atudanganye kwa werevu ili tuache kumutumikia Mungu? Jibu la ulizo hilo halitegemee ikiwa tunapata majaribu makali ao hapana, lakini linategemea namna tunalinda muzuri moyo wetu. Neno “moyo,” maana yake nini? Shetani anatumia njia gani ili kujaribu kupotosha ao kuharibu moyo wetu? Na tunaweza kufanya nini ili kulinda moyo wetu? Habari hii itajibu ile maulizo.