Maelezo ya Chini
b MAFASIRIO YA MANENO FULANI: Yehova alitupatia uwezo wa kuchunguza mawazo yetu, namna tunajisikia, na matendo yetu na kisha kujihukumu. Biblia inaita uwezo huo zamiri. (Ro. 2:15; 9:1) Zamiri yenye kuzoezwa na Biblia ni zamiri yenye inatumia kanuni za Yehova zenye kuwa mu Biblia, ili kuhukumu ikiwa mambo yenye tunawaza, tunafanya, ao kusema ni ya muzuri ao ni ya mubaya.