Maelezo ya Chini
a Hii ni habari ya kwanza kati ya habari ine zenye zitazungumuzia juu ya nini tunaweza kuwa hakika kama Yehova anatuhangaikia. Habari tatu zenye kubakia zitazungumuziwa mu gazeti Munara wa Mulinzi la Mwezi wa 5, 2019. Habari hizo zitazungumuzia namna Yehova anaonyesha upendo na haki katika kutaniko la Kikristo, namna wazee wanalinda kutaniko na namna wazazi wanaweza kulinda watoto wao ili wasitendewe mubaya kingono, na namna tunaweza kufariji wale wenye walitendewa mubaya kingono wakati walikuwa watoto.