bMAFASIRIO YA MANENO FULANI: “Kujitia pa nafasi ya wengine” maana yake kujaribu kuelewa namna wengine wanajisikia na kujisikia namna wanajisikia. (Ro. 12:15) Mu habari hii, maneno “kujitia pa nafasi ya wengine” na “kuhangaikia wengine” iko na maana moja.