Maelezo ya Chini
c Pia, Yehova alitendea kwa huruma watu wengine waaminifu wenye walikuwa wamevunjika moyo ao wenye walikuwa na woga. Fikiria habari yenye kuzungumuzia Hana (1 Sa. 1:10-20), Eliya (1 Fa. 19:1-18), na Ebed-meleki (Yer. 38:7-13; 39:15-18).