Maelezo ya Chini
a Wakati Yesu alikuwa ku dunia, Yehova alizungumuza mara tatu kutoka mbinguni. Mara moja kati ya mara hizo tatu, Yehova aliomba wanafunzi wa Kristo wamusikilize Mwana wake. Leo, Yehova anasema na sisi kupitia Neno lake lenye kuandikwa, lenye kutia ndani mafundisho ya Yesu, na pia anasema na sisi kupitia tengenezo lake. Habari hii itazungumuzia faida zenye tunapata wakati tunamusikiliza Yehova na Yesu.