Maelezo ya Chini
c Wazee hawana ruhusa ya kuweka sheria juu ya mambo ya kujifurahisha. Lakini, kila Mukristo anapaswa kutumia zamiri yake yenye kuzoezwa na Biblia ili kuchagua mambo yenye atasoma, mambo yenye ataangalia, ao michezo yenye atacheza. Vichwa vya familia wenye hekima wanahakikisha kama mambo ya kujifurahisha yenye watu wa familia yao wanachagua inapatana na kanuni za Biblia.—Ku jw.org® ona habari “Je, Mashahidi wa Yehova Huwakataza Wafuasi Wao Sinema, Vitabu, au Nyimbo Fulani?” Fungua sehemu KUTUHUSU > MASWALI YANAYOULIZWA MARA NYINGI.