Maelezo ya Chini
b MAFASIRIO YA MANENO FULANI: Wanafunzi wa Kristo wanafanya mambo mingi zaidi tu ya kujifunza mambo yenye Yesu alifundisha. Wanatumia katika maisha yao mambo yenye wanajifunza. Wanajikaza kufuata kwa ukaribu hatua za Yesu, ao mufano wake, kwa kadiri inawezekana.—1 Pe. 2:21.