Maelezo ya Chini
b Vilevile, kisha kueneza miaka fulani, ndugu wengi wenye kuwa na madaraka wameachia ndugu vijana madaraka yao. Ona habari yenye kichwa “Wakristo Wenye Kuzeeka—Yehova Anapendezwa Sana na Ushikamanifu Wenu,” katika Munara wa Mulinzi wa Mwezi wa 9, 2018, na “Endelea Kuwa na Amani ya Akili Hata Kama Hali Zinabadilika,” katika Munara wa Mulinzi wa Mwezi wa 10, 2018.