Maelezo ya Chini
a Mawazo yenye tuko nayo juu ya watu wa eneo letu iko na matokeo gani juu ya namna yetu ya kuhubiri na kufundisha? Habari hii inazungumuzia namna Yesu na mutume Paulo waliona wasikilizaji wao na namna gani tunaweza kuwaiga kwa kufikiria mambo yenye watu wenye tunakutana nao wanaamini, mambo yenye wanapendezwa nayo, na kuona kila mumoja wao kama anaweza kuwa mwanafunzi wa Yesu.