Maelezo ya Chini
a Tuko tunajionea mambo yenye kuhakikisha kama unabii wa Danieli juu ya “mufalme wa kaskazini” na “mufalme wa kusini” unaendelea kutimia. Juu ya nini tuko hakika na jambo hilo? Na juu ya nini tuko na lazima ya kuelewa mambo yenye unabii huo unazungumuzia?