Maelezo ya Chini
b Juu ya sababu yenye kuonyeshwa hapa, haifae tena kusema kama Mutawala wa Roma Aurélien (270-275 K.K.Y.) alikuwa “mufalme wa kaskazini” ao kama Malkia wa Siria Zenobia (267-272 K.K.Y.) alikuwa “mufalme wa kusini.” Hii mafasirio inabadilisha mambo yenye ilichapishwa mu sura ya 13 na 14 ya kitabu Sikiliza Unabii wa Danieli!