Maelezo ya Chini
b Wakati fulani, vichapo vyetu vilionyesha kama jina la Yehova halina lazima ya kutetewa juu hakuna mwenye amesema kama Mungu hana haki ya kuwa na jina hilo. Lakini, mwangaza mupya ulitolewa ku mukutano wa kila mwaka wa 2017. Mwenyekiti alisema hivi: “Kwa kifupi, haiko mubaya kusali jina la Yehova litetewe kwa sababu sifa yake inapaswa kabisa kutetewa.”—Ona programu ya JW Télédiffusion ya Mwezi wa 1, 2018 ku jw.org®. Fungua sehemu MAKTABA > JW TÉLÉDIFFUSION®.