Maelezo ya Chini
a Katika habari hii, tutazungumuzia maneno fulani yenye Mufalme Daudi alisema mu sala yake yenye kuwa mu Zaburi 86:11, 12. Kuogopa jina la Yehova maana yake nini? Ni sababu gani fulani zenye kufanya tuogope sana jina hilo kubwa? Na namna gani kumuogopa Mungu kunaweza kutulinda ili tusishindwe wakati tunapata majaribu?