Maelezo ya Chini
a Tunaishi mu dunia yenye kutawaliwa na Shetani, baba ya uongo. Kwa hiyo, haiko mwepesi kwetu kuendelea kutembea katika kweli. Wakristo wenye waliishi ku mwisho wa karne ya kwanza, walikuwa pia na ile magumu. Juu ya kusaidia wale Wakristo wa zamani na sisi pia, Yehova alimuongoza mutume Yohana aandike barua tatu. Habari zenye kupatikana katika zile barua tatu zitatusaidia tutambue magumu yenye inaweza kutuzuia kuendelea kutembea katika kweli na namna tunaweza kupambana nayo.