Maelezo ya Chini
c MAFASIRIO YA PICHA: Mufalme Asa alimuondoa tate yake kwenye cheo cha malkia mama ya mufalme, juu tate yake alikuwa anachochea watu waabudu sanamu. Watu wenye walimuunga Asa mukono walifuata mufano wake na waliharibu sanamu zenye watu walikuwa wanaabudu.