Maelezo ya Chini
a Sehemu ya pili ya 1 Wakorinto sura ya 15 inazungumuzia mambo ingine juu ya ufufuo, zaidi sana ufufuo wa Wakristo watiwa-mafuta. Lakini, mambo yenye Paulo aliandika ni ya maana pia kwa kondoo wengine. Hii habari itaonyesha namna tumaini la ufufuo linaweza kutusaidia leo, na namna linaweza kutusaidia tutazamie kuwa na maisha yeye furaha wakati wenye kuja.