Maelezo ya Chini
a Inaonekana kabisa kama mutume Yohana njo mwenye Biblia inaita “mwanafunzi mwenye Yesu alipenda.” (Yoh. 21:7) Ile inaonyesha kama, hata kama alikuwa kijana, inawezekana kabisa alikuwa na sifa mingi za muzuri. Miaka mingi kisha, wakati alikuwa amezeeka, Yehova alimutumia ili kuandika mambo mingi kuhusu upendo. Mu hii habari, tutazungumuzia mawazo fulani yenye Yohana aliandika na tutazungumuzia mambo yenye mufano wake unaweza kutufundisha.