Maelezo ya Chini
a Yesu alisema kama upendo wenye wanafunzi wake wangeonyeshana njo ungewatambulisha kuwa Wakristo wa kweli. Sisi wote tunajikazaka kuonyesha ule upendo. Lakini, hatupaswe tu kuonyesha ndugu na dada zetu upendo wa kawaida. Tunapaswa pia kuwaonyesha upendo wenye upole, ni kusema, kuwapenda vile tunapendaka watu wa familia yetu. Hii habari itatusaidia tukomalishe upendo wenye upole na tuendelee kuuonyesha ndugu na dada zetu.