Maelezo ya Chini
a Wakati mwanaume anaoa, anakuwa kichwa cha familia. Mu hii habari, tutazungumuzia maana ya ukichwa, juu ya nini Yehova alianzisha mupango wa ukichwa, na mambo yenye wanaume wanaweza kujifunza kupitia mufano wa Yehova na Yesu. Mu habari ya pili, tutaona mambo yenye bibi na bwana wanaweza kujifunza kupitia mufano wa Yesu na mifano ingine yenye inazungumuziwa mu Biblia. Na mu habari ya tatu, tutazungumuzia ukichwa mu kutaniko.