Maelezo ya Chini
b MAFASIRIO YA PICHA: Polisi wanakuja kumufunga ndugu kwake. Bibi yake na mutoto wake mwanamuke wanaangalia wakati polisi wanaenda naye. Wakati ule ndugu iko mu gereza, ndugu na dada wa mu kutaniko lao wako wanafanya ibada ya familia pamoja na bibi na mutoto wake. Bibi yake na mutoto wake wanasali kwa Yehova kila mara ili awapatie nguvu ya kuvumilia ile jaribu. Yehova anawapatia amani ya moyo na uhodari. Kwa hiyo, imani yao inakuwa nguvu zaidi, na wanavumilia kwa furaha.