Maelezo ya Chini
a Ndugu vijana wenye kukomaa kiroho, wanapenda kumutumikia Yehova mu njia zingine mbalimbali. Juu wastahili kuwa watumishi wa huduma, wanapaswa kufanya mambo fulani juu ndugu na dada mu kutaniko wawaheshimie na waendelee kuwaheshimia. Sasa ni mambo gani ndugu vijana wanaweza kufanya juu wengine wawaheshimie?