Maelezo ya Chini
a Leo, tuko tunaishi mu kipindi ya nguvu sana, lakini Yehova anatusaidia kuvumilia. Mu hii habari, tutajifunza namna Yehova alisaidia mutume Paulo na Timoteo waendelee kumutumikia hata kama walikuwa na magumu. Tutazungumuzia pia njia ine zenye Yehova anatumia leo ili kutusaidia tuvumilie.