Maelezo ya Chini
a Yehova hakutupatia tu pendeleo ya kuhubiria watu lakini pia ya kuwafundisha kushika mambo yote yenye Yesu aliamuru. Ni nini inatuchocheaka kufundisha wengine? Ni magumu gani tunapataka mu kazi ya kuhubiri na ya kufanya wanafunzi? Na nini njo inaweza kutusaidia kupambana na ile magumu? Hii habari itajibia ile maulizo.