Maelezo ya Chini
c MAFASIRIO YA PICHA: Ona namna funzo ya Biblia inaweza kubadilisha maisha ya mutu: Ku mwanzo mwanaume moja anaonekana sawa vile hamujue hata Mungu na kama maisha yake haina kusudi. Kisha anakutana na Mashahidi wa Yehova wenye wako mu mahubiri, na anakubali funzo. Mambo anajifunza inamusaidia atoe maisha yake kwa Yehova na abatizwe. Kisha wakati, na yeye anaanza kufanya wanafunzi. Ku mwisho, wote wanafurahia maisha mu Paradiso.