Maelezo ya Chini
a Siye wote tuko na magumu mbalimbali. Lakini, kwa sasa, hatuna uwezo wa kumaliza magumu mingi; njo maana tunapaswa tu kuvumilia. Lakini haiko siye peke njo tuko navumilia. Yehova pia iko anavumilia mambo mingi. Mu hii habari, tutaona mambo kenda kati ya mambo yenye Yehova iko anavumilia. Tutaona pia mambo yenye uvumilivu wa Yehova umetimiza na namna tunaweza kupata faida kupitia mufano wake.