Maelezo ya Chini
a Juu familia ikuwe na furaha, kila mutu anapaswa kujua mambo yenye anatazamiwa kufanya na anapaswa kusaidia watu wengine wa familia. Baba anaongoza kwa upendo familia, mama anamutegemeza, na watoto wanajitiisha kwa wazazi wao. Ni vile pia kuhusu familia ya Yehova. Mungu wetu iko na kusudi fulani juu yetu, na kama tunaishi kulingana na ile kusudi tutakuwa mu familia yake milele.