Maelezo ya Chini
b MAFASIRIO YA PICHA: Tangu wakati alikuwa mutoto, dada mumoja iko na zoezi ya kusali kwa Yehova. Wakati alikuwa mudogo, wazazi wake walimufundisha namna ya kusali. Na wakati alikuwa kijana, alianza kufanya kazi ya upainia na kila mara alikuwa anaomba Yehova abariki utumishi wake. Kisha miaka fulani, wakati bwana yake aligonjwa, alisali sana kwa Yehova ili amupatie nguvu yenye iko nayo lazima juu ya kuvumilia ile hali. Leo, iko mujane, lakini anadumu katika sala, na iko hakika kama Baba yake wa mbinguni Yehova atajibia sala zake, sawa vile alijibia sala zake mu maisha yake.