Maelezo ya Chini
a Biblia inafundisha kabisa kama Yehova Mungu njo Muumbaji. Lakini watu wengi hawaamini vile. Wanasema kama mambo yote ilijitokeza. Mambo yote yenye wanasema itafanya tukuwe na mashaka kuwa Yehova ni Muumbaji wa kila kitu? Hapana. Hatutakuwa na mashaka ikiwa tunatia nguvu imani yetu katika Mungu na katika Biblia. Hii habari itafasiria namna tunaweza kufanya vile.