Maelezo ya Chini
c Hii ni mafasirio ya mupya kuhusu namna yetu ya kuelewa. Zamani tulisema kama haiko kutikiswa ya mataifa njo ingevuta watu wenye mioyo mizuri kwa Yehova. Ona habari “Maswali Kutoka kwa Wasomaji” yenye kuwa mu Munara wa Mulinzi wa tarehe 15, Mwezi wa 5, 2006.