Maelezo ya Chini
d MAFASIRIO YA PICHA: Yehova anatendea mu njia ya pekee watumishi wake wenye kuwa na imani katika bei ya ukombozi yenye alitoa. Zaidi ya kupenda watumishi wake sawa vile anapenda watu wengine, Yehova anaonyesha pia watumishi wake upendo mushikamanifu. Mifano ya ile upendo mushikamanifu, inaonyeshwa mu picha.