Maelezo ya Chini
a Wakristo hawako chini ya sheria ya Musa, lakini ile sheria inazungumuzia mambo mingi yenye tunapaswa kufanya ao yenye tunapaswa kuepuka kufanya. Kama tunajifunza kuhusu ile mambo mbalimbali, inaweza kutusaidia kuonyesha upendo wengine na kumufurahisha Mungu. Hii habari itatusaidia kuelewa faida yenye tunaweza kupata kwa kuzungumuzia sura ya 19 ya kitabu ya Mambo ya Walawi.