Maelezo ya Chini
a Wakati Yesu alisema kama kondoo wake wangesikiliza sauti yake, alipenda kusema kama wanafunzi wake wangesikiliza mafundisho yake na kuitumikisha mu maisha yao. Mu hii habari, tutazungumuzia mambo mbili yenye Yesu alifundisha, ni kusema, kuacha kuhangaika sana juu ya vitu vya kimwili na kuacha kuhukumu wengine. Tutazungumuzia namna tunaweza kutumikisha ile shauri.