Maelezo ya Chini
a Andiko yetu ya mwaka wa 2022 inatoka mu Zaburi 34:10: “Wale wenye kumutafuta Yehova hawatakosa kitu kizuri.” Watumishi wengi waaminifu wa Yehova hawana vitu mingi vya kimwili. Juu ya nini tunaweza kusema kama ‘hawakose kitu kizuri’? Kuelewa maana ya hii andiko kunaweza kutusaidia namna gani tujitayarishe kwa ajili ya magumu yenye itakuya?