Maelezo ya Chini
a Hii habari itatusaidia kuona juu ya nini ni jambo ya maana kumutumainia Yehova na kutumainia wale wenye wanamuakilisha hapa ku dunia. Tutaona pia faida yenye tunaweza kupata sasa kwa kufanya vile, na namna ile inatutayarisha kwa ajili ya magumu ya wakati wenye kuja.