Maelezo ya Chini
a Watu wa Yehova wanaona kama ni jambo ya maana kusikiliza mashauri ya Biblia na kuitumikisha. Lakini kila mara haikuwake mwepesi kukubali shauri na kuitumikisha. Juu ya nini inakuwaka nguvu kufanya vile? Na nini njo inaweza kutusaidia kupata faida kupitia shauri yenye wanatutolea?