Maelezo ya Chini
a Yehova alitupatia zawadi ya muzuri sana—zawadi ya kusema. Jambo ya kuhuzunisha ni kama watu wengi wanatumia mubaya ile zawadi. Ni nini inaweza kutusaidia tuendelee kusema maneno ya muzuri na yenye kujenga hata kama tunaishi mu hii dunia ya mubaya? Tunaweza kufanya nini ili maneno yetu imufurahishe Yehova wakati tuko mu mahubiri, ku mikutano ya kutaniko, na wakati tuko nazungumuza na watu wengine? Hii habari itajibia ile maulizo.