Maelezo ya Chini
a Tunaishi mu kipindi ya pekee! Maunabii yenye kuwa mu kitabu ya Ufunuo iko natimia leo. Ile maunabii inatuhusu namna gani? Hii habari na habari mbili zenye kufuata zitazungumuzia mawazo fulani yenye kuwa mu kitabu ya Ufunuo. Hizi habari zitatusaidia tujue namna tunaweza kutumikisha mawazo yenye kuwa mu kitabu ya Ufunuo, juu Yehova Mungu aendelee kukubali ibada yetu.