Maelezo ya Chini
a Kitabu ya Ufunuo inatumia alama juu ya kutusaidia tutambue maadui wa Mungu. Kitabu ya Danieli inatusaidia tuelewe maana ya zile alama. Mu hii habari tutalinganisha unabii fulani wenye uko mu kitabu ya Danieli na unabii wenye kufanana nao, wenye uko mu kitabu ya Ufunuo. Kufanya vile kutatusaidia tutambue maadui wa Mungu. Kisha, tutazungumuzia mambo yenye itawapata.