Maelezo ya Chini
c Tofauti na ule munyama wa kwanza, ile sanamu haina “mataji” kwenye mapembe yake. (Ufu. 13:1) Juu ya nini? Ni juu ile sanamu inatokana na wale wafalme wengine saba, na ni wao njo wanaipatia mamlaka.—Soma ku jw.org habari yenye kichwa “Mnyama-Mwitu Mwenye Rangi Nyekundu wa Ufunuo Sura ya 17 Ni Nini?”