Maelezo ya Chini
a Tumezungumuzia habari mbili zenye zinahusu kitabu ya Ufunuo, na hii njo habari ya tatu na ya mwisho. Vile tutaona mu hii habari, wale wenye wanabakia waaminifu kwa Yehova watapata furaha mu siku zenye ziko nakuya. Lakini wale wenye kumupinga Mungu na utawala wake, wataishia pabaya.