Maelezo ya Chini
a Sulemani na Yesu walikuwa na hekima sana. Yehova Mungu njo aliwapatia ile hekima. Mu hii habari, tutaona namna mashauri yenye kuongozwa na roho, yenye Sulemani na Yesu walitoa, inaweza kutusaidia. Ile mashauri inahusu kuwa na mawazo yenye kufaa juu ya makuta, juu ya kazi ya kimwili, na juu yetu wenyewe. Tutaona pia namna Wakristo wenzetu wamepata faida juu walitumikisha mashauri ya Biblia mu ile mambo tatu.