Maelezo ya Chini
a Tuko naishi mu kipindi ya muzuri sana ya historia! Ufalme wa Mungu umeanza kutawala, vile maunabii mingi ya Biblia ilisemaka. Mu hii habari, tutachunguza maunabii fulani yenye itatia nguvu imani yetu na kutusaidia tuendelee kuwa watulivu na kumutumainia Yehova leo na mu siku zenye ziko nakuya.