Maelezo ya Chini
a Biblia inaambia Wakristo watii mamlaka zenye kuwa kubwa, ni kusema, serikali za hii dunia. Lakini, serikali fulani zinapinga Yehova na watumishi wake. Tunaweza kufanya nini ili kutii serikali na kuendelea kuwa waaminifu-washikamanifu kwa Yehova?