Maelezo ya Chini
a Hekima yenye Yehova anatutolea ni ya muzuri zaidi kuliko hekima yenye ulimwengu unaweza kututolea. Mu hii habari, tutazungumuzia maneno ya mufano yenye kupendeza yenye inapatikana mu kitabu ya Mezali. Ile maneno inazungumuzia hekima yenye inaita kwa sauti kubwa mu kiwanja ya watu wote ya muji. Tutazungumuzia namna tunaweza kupata hekima ya kweli, juu ya nini watu fulani hawapendi kusikiliza hekima ya Yehova na faida yenye tutapata kama tunasikiliza hekima ya Yehova.