Maelezo ya Chini
a Wakati fulani, makabila ya Israeli ilipigana kati yao, lakini ile haikumufurahisha Yehova. (1 Fa. 12:24) Na wakati fulani, Yehova alikubali vita kati ya mataifa fulani juu makabila fulani ilikuwa imemuasi ao imefanya zambi nzito.—Amu. 20:3-35; 2 Ny. 13:3-18; 25:14-22; 28:1-8..