Maelezo ya Chini
a Hii habari itazungumuzia mambo tatu yenye Yehova anafanyaka ili kusaidia waabudu wake kuvumilia magumu ya maisha kwa furaha. Tutajifunza ile mambo tatu kwa kuchunguza Isaya sura ya 30. Wakati tutazungumuzia ile sura, tutaona juu ya nini ni jambo ya maana kusali kwa Yehova, kujifunza Neno yake, na kufikiri sana juu ya baraka zenye tuko nazo sasa, na zenye tutapata wakati yenye kuya.