Maelezo ya Chini
b MAFASIRIO YA MANENO FULANI: “Paradiso ya kiroho” ni fasi ya usalama kwenye tunamuabudu Yehova kwa umoja. Mu paradiso ya kiroho, tuko na chakula mingi ya kiroho yenye haina ndani uongo wa dini, na tuko na kazi ya muzuri sana ya kuhubiri habari njema ya Ufalme wa Mungu. Tuko na uhusiano wa karibu sana pamoya na Yehova, na tunaishi kwa amani pamoya na ndugu na dada zetu, wenye kutupenda na wenye kutusaidia kuvumilia magumu ya maisha kwa furaha. Tunaingia mu paradiso ya kiroho wakati tunaanza kumuabudu Yehova mu njia yenye anapenda na wakati tunafanya yetu yote ili kumuiga.