Maelezo ya Chini
a Juu ya kuvumilia kwa uaminifu mu hizi siku za mwisho, tunapaswa kuendelea kutumainia Yehova na tengenezo yake. Shetani anatumia majaribu juu ya kufanya tusimutumainie Yehova na tengenezo yake. Mu hii habari, tutazungumuzia majaribu tatu yenye Shetani anatumia na mambo yenye tunaweza kufanya juu tuendelee kuwa waaminifu kwa Yehova na tengenezo yake.